Swahili Service

SIRI YA AMANI

SOMO: ZABURI 29:11 UTANGULIZI Amani timilifu, Amani ya ndani inapatikana katika ushirika na Mungu. Uhuru wa kweli wakati wote kutoka na kila shida ya kiroho na mwili hutoka kwa Mungu pekee. Zaburi 29:11- “Bwana Atawapa Watu Wake Nguvu; Bwana Atawabariki Watu Wake Kwa Amani”. Ndoa nyingi, nyumba nyingi na mahali pa kazi pamekuwa uwanja wa …

Continue Reading