Swahili Service

ASUBUHI YANGU NJOO

SOMO:  ZABURI 30:5 UTANGULIZI Mungu wetu Jehova hajali ata iwe ni kuua , kuondoa, kufuta, kufangia hau kufanya chochote kile hili kutosheleza watoto wake. “Maana ghadhabu zake ni za kitambo kidogo, katika radhi yake mna uhai,. Huenda kilio huja kukaa usiku, lakini asubuhi huwa furaha “ (Zaburi 30:5) ‘For his anger endureth but a moment …

Continue Reading
Swahili Service

AHITHOFELI ALIPANGA, LAKINI MUNGU ALIPANGA VIGINE

SOMO:  II SAMWELI 16:20-17:21 UTANGULIZI Mungu aliingilia kati mpango mbaya wa Ahithofeli na Absalomu kumshusha na kumwaribu mfalme Daudi. Mpango wao haukufaulu kamwe.   Kuna watu wanaokaa kama jinsi bomu. Hawa watu sura yao kawaida wanaongea na kutembea kawaida. Wanaudhuria kanisa an kusifu Mungu kawaida, lakini dani yao kuna shida kubwa. Hawataki kamwe kuongea maisha yao …

Continue Reading