Kings Of Judah Swahili Service

YEHORAMU– ALIFARIKI BILA KUTAMANIWA.

2 MAMBO YA NYAKATI 21:1-20 UTANGULIZI Tunapotembea katika barabara ya maisha, tunaendelea kuandika historia ya jinsi tutakumbukwa mara tutakapo fariki dunia. Tabia zetu ndizo watu watakumbuka. Mfalme Yehoramu mwana wa mfalme Yehoshafati alifariki bila kutamaniwa na kuliliwa na mtu yeyote. Kama Yesu Kristo atakawia zaidi kurundi kwake duniani, Kila mmoja wetu katika chumba hiki lazima …

Continue Reading
Youth Service

THE GOD WHO SEES

GENESIS 16:1-16 INTRODUCTION Hagar was so amazed that God cared, so she called His name “EL-RO-I”  “Thou God sees me” she named the well “Beerlahairoi”. The well of the living One that sees me. Let us learn I.  THE CERTAINTY OF HIS OMNISCIENCE Omniscience means “possessing total knowledge, knowing everything about everything. In His person …

Continue Reading
Kings Of Judah Swahili Service

YEHOSHAFATI ALIMRUDIA MUNGU WAKE.

2 MAMBO YA NYAKATI 19-20 UTANGULIZI Hata ingawa mfalme Yehoshafati alijifunga kongwa moja na wasio amini, na akapona mauti katika vita, tunaona kwamba Yehoshafati alimrudia Mungu wake. Yehoshafati alirudi Yerusalemu kwa aibu nyingi. Mara tu alipoingia nyumbani kwake         Yerusalemu, Yehu mwana wa Hanani, Mwonaji alikwenda kumlaki akamwambia “Je! Imekupasa kuwasaidia waovu na kuwapenda wamchukiao Bwana …

Continue Reading