Kings Of Judah Swahili Service

MANASE – BWANA NDIYE MUNGU

II MAMBO YA NYAKATI 33:1-17 UTANGULIZI Mungu anaweza kumwokoa yeyote yule. Neema ya Mungu inawafikia wote walio karibu na walio mbali sana kama mfalme Manase wa Yuda. Musa alikuwa muuaji, Daudi alikuwa muuaji – msherati, Rahabu alikuwa kahaba, Mariamu Magdalene alikuwa mwenye pepo saba. Ibrahimu alikuwa mwabudu sanamu, Yakobo alikuwa mdanganyifu, Paulo alikuwa mpinga Kristo …

Continue Reading