Swahili Service

MUNGU NI M’WEZA

MFULULIZO: SIONI HAYA SOMO: 2 TIMOTHEO 1:12-14   Mungu ni mwenye uwezo wote kufanya yote aliye ahidi kutenda. Hakuna jambo lililo ngumu kwake-Yeremia 32:17; Luka 1:37. Hakuna anayeweza kupinga mipango ya Mungu-Ayubu 42:2. Mungu aliviumba vyote viweze kumtumikia-Zaburi 119:91. Mungu anafanya yanayompendeza-Zaburi 115:3. Upana wa uweza wa Mungu ni mkuu zaidi. Mungu anaokoa kabisa-Waebrania 7:25. …

Continue Reading