Swahili Service

NADABU NA ABIHU WALIMTOLEA MUNGU MOTE WA KIGENI

MFULULIZO: WASHINDWA WAKUU KATIKA BIBLIA SOMO: WALAWI 10:1-10; WAEBRANIA 12:18-29     Leo tunatazama watu wawili waliokuwa ndugu, majina yao ni Nadabu na Abihu. Hawa ndugu wawili walipotea kwa maana hawakumchukua Mungu maanani. Hawakujali kanuni za ibada, unii na utakatifu. Hawakumwabudu Mungu katika kweli na katika Roho Mtakatifu. Tunakutana na Nadabu na Abihu katika Kutoka …

Continue Reading