TEXT: PROVERBS 17:24 “Wisdom is before him that has understanding; but the eyes of a fool are in the ends of the earth.” Having a successful year 2025 is as simple as A.B.C.D.E. A-Accept responsibility. B-Believe you can change. C-Classify your priorities. D-Don’t wait to begin. E-Effective decree your future. “An intelligent person aims …
Month: December 2024
REHEMA ZAKE HAZIKOMI
SOMO: MAOMBOLEZO 3:22-24. Tunahitaji rehema za Mungu kuishi, ulinzi na kupandishwa katika kila eneo katika maisha yetu. Safari ya maisha ni ngumu kueleza wakati mwingine mambo yanatujia bila repoti. Wakati mwingine si walio na nguvu wanapona, si kila wenye hekima na akili, si kila wenye fedha na mali wanapona lakini wale tu wanaongojea rehema …
DON’T LET YOUR PAST DETERMINE YOUR FUTURE
TEXT: ISAIAH 43:17-19; ECCL. 1:9-10 Our past is valuable but it can limit our tomorrow especially if we have failed in one way or another. The word of God reveals to us four reasons you have a great destiny and four ways to restart God’s plan for your life. Today is the last Sunday …
JESUS IS DEDICATED AT THE TEMPLE.
TEXT: LUKE 2:22-38; EXODUS 13:2. About 40 days after the birth of the Lord, His parents took Him to Jerusalem to be dedicated to the Lord, at the temple. According to Leviticus 12:4-5, every male child was to be brought to the temple in Jerusalem for dedication to the Lord at the completion of …
WHEN CHRISTMAS CAME TO BETHLEHEM
TEXT: MATTHEW 2:1-16; LUKE 2:1-15. Something can happen when Christ comes to your Bethlehem. Something will change you from what you were to what you can become. From Nazareth to Bethlehem was a journey of 90 miles (124 km). It would take Joseph and Mary 5 days journey. Bethlehem is 6 miles or 9 …
WHEN HEAVENS COME DOWN
TEXT: LUKE 1:26-33. MATT. 1:19-25. ISAIAH 7:14. The most significant event ever happened in the world is when heaven came down in to the world. God the son entered this world to provide salvation to all who believe. This is the highest point of Gods redemptive plan. Apostle Paul stated in -Galatians 4:4-5 “But …
ANA-ALIUTARAJIA UKOMBOZI WA ISRAELI.
SOMO: LUKA 2:36-38. Kuokoka ni kuishi maisha ya kutarajia ukombozi wa Mungu. Mungu anawabariki wanaomtarajia Mungu katika kuomba kwa kufunga na kuomba. Katika ibada ya kingereza tunatazama maisha na kazi ya Simioni. Simioni na Ana ni watu wawili wasio ubiriwa sana wakati huu wa Krismasi. Leo tunatazama maisha na huduma ya Ana mke nabii. …
SIMEON WAS READY TO MEET GOD.
TEXT: LUKE 2:22-35. Simeon was prepared to meet God-Are you? The birth of the Messiah was an event that had been anticipated for hundreds of years as it had been foretold through the prophets. God had promised a Savior and He gave that Savior is the most significant and most magnificent way. Despite the …
FOR GOD SO LOVED THE WORLD.
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which was lost in the Garden of Eden. The relationship between man and God. The first Adam sold the human race to sin and damnation, the second Adam Jesus Christ became a life giving spirit. Adam brought death to humanity, Jesus …
KWA NINI BIKIRA ALIZAA?
SOMO: WAGALATIA 4:1-8. Krismasi inao maana tofauti kwa watu tofauti. Kwa watu wengine Krismasi ni wakati wa kupeana zawadi, miti ya Krismasi, maua kwa milango na Santa Claus. Kwa watu wengine Krismasi ni wakati wa hasira, hawapendi kusikia Mungu na habari za Yesu Kristo. Wengine hawapendi Krismasi kwa maana Krismasi ni Kristo na maana …