Swahili Service

MUNGU ALIMGEUZA MFALME AKAWA NG’OMBE

MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 4:1-37 Kiburi cha mfalme Nebukadreza kiliongezeka na kupanda juu zaidi. Mungu alimpa mfalme Nebukadreza ndoto kama onyo. Kwa kukataa ile ndoto na kutubu dhambi yake Nebukadreza alienda kichaa na wazimu wa kuwa mnyama, akala nyasi kama ng’ombe, akatembea miguu nne, akamea ngozi kama jinsi ng’ombe, akaingia porini kama mnyama …

Continue Reading