II MAMBO YA NYAKATI 33:1-17 UTANGULIZI Mungu anaweza kumwokoa yeyote yule. Neema ya Mungu inawafikia wote walio karibu na walio mbali sana kama mfalme Manase wa Yuda. Musa alikuwa muuaji, Daudi alikuwa muuaji – msherati, Rahabu alikuwa kahaba, Mariamu Magdalene alikuwa mwenye pepo saba. Ibrahimu alikuwa mwabudu sanamu, Yakobo alikuwa mdanganyifu, Paulo alikuwa mpinga Kristo …
Category: Kings Of Judah
HEZEKIA AKALIA SANA
II WAFALME 20: 1-11 UTANGULIZI Katika Biblia watu wengi walilia, nayo mbingu ikapanguza machozi yao. Yohana 20:11-15, Mariamu alilia na kukosa tumaini, Yesu Kristo alipokuja akasema, unanitafuta mimi, kwa nini unalia? Ninaomba wewe ukapate kuona kinacho kufanya ulie, ni mtoto? Ni kazi? Ni mume? Mi mke? Ni njia, Mungu akutane nawe sasa. Hajiri alilia (Mwanzo …
HEZEKIA – MFALME WA UFUFUO
II MAMBO YA NYAKATI 29:1-36 UTANGULIZI Ufufuo huwezi kuja kanisani mpaka viongozi wa kanisa kufufuliwa kwanza. Kanisa ni kama vile samaki, samaki anaanza kuoza kwa kichwa chake. Maitaji kuu ya kanisa hii la FBC ni ufufuo kutoka moyo. Pesa ni ya maana sana, lakini kwanza tunahitaji ufufuo wa watu walio kwa mioyo yao wamejitoa kwa …
UZIA-ALIANGUKA KWA SABABU YA KIBURI CHAKE.
II MAMBO YA NYAKATI 26 UTANGULIZI Uzia alikuwa kijana wa miaka 16 alipokuwa mfalme wa Yuda. Alitawala Yuda muda mrefu wa miaka 52. Uzia alifaulu sana kwa maana alikuwa chini ya uongozi wa ushauri wa Zekaria, Nabii aliyekuwa Muonaji. Neno la Zekaria kwa mfalme Uzia ilikuwa hii “mkimwacha Mungu, hamuwezi kufaulu” (II Mambo 24:20). Neno …
YEHORAMU– ALIFARIKI BILA KUTAMANIWA.
2 MAMBO YA NYAKATI 21:1-20 UTANGULIZI Tunapotembea katika barabara ya maisha, tunaendelea kuandika historia ya jinsi tutakumbukwa mara tutakapo fariki dunia. Tabia zetu ndizo watu watakumbuka. Mfalme Yehoramu mwana wa mfalme Yehoshafati alifariki bila kutamaniwa na kuliliwa na mtu yeyote. Kama Yesu Kristo atakawia zaidi kurundi kwake duniani, Kila mmoja wetu katika chumba hiki lazima …
YEHOSHAFATI ALIMRUDIA MUNGU WAKE.
2 MAMBO YA NYAKATI 19-20 UTANGULIZI Hata ingawa mfalme Yehoshafati alijifunga kongwa moja na wasio amini, na akapona mauti katika vita, tunaona kwamba Yehoshafati alimrudia Mungu wake. Yehoshafati alirudi Yerusalemu kwa aibu nyingi. Mara tu alipoingia nyumbani kwake Yerusalemu, Yehu mwana wa Hanani, Mwonaji alikwenda kumlaki akamwambia “Je! Imekupasa kuwasaidia waovu na kuwapenda wamchukiao Bwana …
YEHOSHAFATI ALIRUDI NYUMA
2 MAMBO YA NYAKATI 17-18 UTANGULIZI Kubeba msalaba wote ni rahisi kuliko kubeba msalaba nusu. Mtu anayejaribu kuishi katika dunia mbili hupoteza zote mbili. Kwa wengi wetu, kama watu wa Mungu, ingesemekana kama jinsi watu wa Galatia “mlikuwa mkipiga mbio vizuri, ni nani aliyewazuia msitii kweli?” (Wagalatia 5:7) “Enyi wagalatia msio na akili, ni nani …
USIFE MBELE YA WAKATI WAKO
II MAMBO YA NYAKATI 16 I WAFALME 15:9-24 UTANGULIZI Jumapili iliyopita tulisoma juu ya mfalme Rehoboamu aliye pokea shauri kutoka kwa wajinga.Rehobohamu mwana wa mfalme Sulemani alimzaa mfalme Abija. Abija hakuwa tofauti sana na babaye. Lakini mfalme Asa alimpenda Mungu. Asa alianza vizuri lakini akamalizia vimbaya sana. Watu wengi wanasema hawawezi kufa kabla ya wakati …
MFALME ALIYE SIKIZA WAJINGA
I WAFALME 12:1-19 UTANGULIZI Biblia inatufindisha kutafuta ushauri. Lakini si kila ushauri ni ushwari mwewa na wa busara. Kweli, kila mtu ni mshauri na kuna ushauri mwingi kila mahali. Lakini je, tutafahamu aje ushauri bora na ushauri mbaya? (Mithali 12:15; 15:22; 19:20) Mfalme Sulemani alikuwa mwenye hekima na moyo wa adili kuliko yeyote yule. Sulemani …
CHAGUO LA SULEMANI- BARAKA TELE
I WAFALME 3:1-15 UTANGULIZI Hekima na moyo wa Adili haupatikani, lakini hupeanwa. Haupatikani duniani lakini huteremka kutoka mbinguni. Inasemekana kwamba Mungu alimpenda Sulemani (2 Samweli 12:24). Sasa inasemekana kwamba Sulemani naye alimpenda Bwana (V.3). Mungu anakupenda, hivyo nawe mpende Mungu wako. Sulemani mfalme alienda Gibeoni kutoa sadaka mbele za Mungu. Akatoa sadaka Elfu kondoo. Sadaka …