AKILI ZA KUJUA NYAKATI ZA MUNGU Swahili Service

MAFUNDISHO YA MUNGU JUU YA WAKATI

MHUBIRI 3:1-15,  MITHALI 3:5-6 UTANGULIZI Mungu amempa kila mtu kila mahali kipawa cha wakati. Sisi zote tunaishi katika wakati.  Hebu tujifunze:- I.  ANAYOTUFUNDISHA MUNGU JUU YA WAKATI (Mhubiri 3:1-15) Mungu, Yehova amempa kila mtu kila mahali katika nyakati zake wakati. Mungu ametupa sisi jana, leo na pengine kesho, hivyo hesabu leo kuwa maana sana. Jana …

Continue Reading
AKILI ZA KUJUA NYAKATI ZA MUNGU Swahili Service

KUJUA NYAKATI ZETU

I MAMBO YA NYAKATI 12:32; UFUNUO 1:8; MATHAYO 6:34 UTANGULIZI Maisha ni hesabu ya nyakati vupi. Kufaulu ni kuishi kila wakati kulingana na mapenzi ya Mungu. Hebu tujifunze:- I.  KUJUA NYAKATI ZETU (Mambo ya nyakati 12:32) “Wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende.” walijua nyakati walizoishi . Ikiwa hatufahamu mila, …

Continue Reading