MHUBIRI 3:1-15, MITHALI 3:5-6 UTANGULIZI Mungu amempa kila mtu kila mahali kipawa cha wakati. Sisi zote tunaishi katika wakati. Hebu tujifunze:- I. ANAYOTUFUNDISHA MUNGU JUU YA WAKATI (Mhubiri 3:1-15) Mungu, Yehova amempa kila mtu kila mahali katika nyakati zake wakati. Mungu ametupa sisi jana, leo na pengine kesho, hivyo hesabu leo kuwa maana sana. Jana …
Category: AKILI ZA KUJUA NYAKATI ZA MUNGU
KUJUA NYAKATI ZETU
I MAMBO YA NYAKATI 12:32; UFUNUO 1:8; MATHAYO 6:34 UTANGULIZI Maisha ni hesabu ya nyakati vupi. Kufaulu ni kuishi kila wakati kulingana na mapenzi ya Mungu. Hebu tujifunze:- I. KUJUA NYAKATI ZETU (Mambo ya nyakati 12:32) “Wana wa Isakari, watu wenye akili za kujua nyakati, kuyajua yawapasayo Israeli wayatende.” walijua nyakati walizoishi . Ikiwa hatufahamu mila, …