DANIEL Swahili Service

MAANDIKO JUU YA UKUTA

DANIELI 5:1-31 UTANGULIZI Mungu amenena nasi kwa njia nyingi. Lakini zaidi Mungu amenena kupitia kwa Yesu Kristo na kwa neno lake. Katika Danieli 1-4, Nebukadneza alikuwa mfalme wa Babeli. Alitawala kwa miaka 40 (605-562 Bc) . Baadaye Amel-marduk (563-561 Bc), Neriglisser (560-556BC), Nabonidus  (556-539 Bc).Nabonidus alikuwa mwenda safari sana, hivyo akatawala pamoja na mwanaye  Belshaza …

Continue Reading
DANIEL Swahili Service

MUNGU WETU ANAWEZA

DANIELI 3:1-30 UTANGULIZI Ni lazima kuchukua msimamo wetu katika Mungu wetu kama vile Danieli (Mungu ndiye hakimu wangu) Hanania (Mungu ni mwenye rehema)    Mishaeli (Mungu hafananishwi) na Azaria (Mungu ndiye anisaidiaye). Imani yetu lazima kujaribiwa. Mungu wetu tunaye mwabudu ni muweza wa yote. Mungu wetu anaokoa. Hebu Tuone:- I. HATA IKIWA MUNGU HATATUOKOA-HATUTA ABUDU HAU …

Continue Reading
DANIEL Swahili Service

MUNGU WA DANIELI

DANIELI 2:1-20 UTANGULIZI Dani ya Danieli palikuwa na roho ya ufahamu, maarifa na hekima. Ufahamu, maarifa na hekima vinahitajika kukusaidia kupanda mpaka juu zaidi. “Kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga” (Luka 21:15) Danieli 1:8-9. Mungu anaweza kukupa ufahamu, maarifa na hekima, adui na marafiki wako …

Continue Reading
DANIEL Swahili Service

MPE MUNGU UTUKUFU WOTE

DANIELI 2:1-49 UNTANGULIZI Danieli alimpa Mungu utukufu alipomweleza mfalme tafsiri ya ndoto yake. Danieli alipompa Mungu utukufu, naye mfalme Nebukadneza alimpa Mungu wa Danieli utukufu. Tutakuwa na jumbe kadhaa katika Daniei mlango wa pili. Leo hii twatazama kanuni alizotumia Danieli wakati wa changamoto za maisha yake. Jumapili iliyopita tuliona Danieli mtu wa kuazimu. Pia tuliona …

Continue Reading