ISAYA 1:18 UTANGULIZI Nabii Isaya alitumika katika wakati kama wakati tulionao hapa kwetu Kenya. Inchi ya Israeli ilikuwa imemwacha Mungu na njia zake. Watu wa Mungu walikuwa wanaishi katika dhambi na ibada za sanamu. (v.2) watu walikuwa wamemuasi Mungu. V.3: Israeli walikuwa wamemkataa Mungu, kwa kweli walikuwa wameshidwa akili na wanyama. V.4: Walichukua mzigo wa …