MWENYE HAKI ATAISHI KWA IMANI Swahili Service

IMANI NDIO USHINDI (FAITH IS THE VICTORY) : WAEBRANIA 11:32-40

UTANGULIZI Tunaishi katika kizazi kinacho amini kwamba kushinda ndio mambo yote. Hata kanisa limeamini Imani ya kweli lazima ushindi na maendeleo ya binafsi, Injili ya “Afya na Utajiri”. (Health and wealth gospel) lime tujulisha ikiwa wewe si tajiri na mwenye afya nzuri umekosa Imani. Lakini sivyo kulingana na Biblia. Leo mwandishi wa Waebrania anatujulisha kwamba …

Continue Reading