Swahili Service TIMOTHY

JIHADHARI USIANGAMIE KWA HABARI YA IMANI

I TIMOTHEO 1:18-20 UTANGULIZI Mtume Paulo anamshauri Timotheo ajiadhari sana hasipate kuangamia katika habari ya Imani (Spiritual shipwreck). Hivyo Paulo anampa Timotheo hatua tano za kujilinda na kuangamia kiroho. Kumuishia Kristo katika ulimwengu huu si rahisi. Watu wengi wameangamia katika Bahari ya Imani. Katika mwaka wa 1912– Meli ya abiria iliyokuwa kubwa zaidi duniani iliangamia …

Continue Reading