SOMO: LUKA 8:1-3, YOHANA 20:11-18 UTANGULIZI Mariamu Magdalene ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye shetani alikuwa amemuharibu kabisa. Lakini baada ya kuponywa na Yesu Kristo, Mariamu Magdalene alitumiwa na Mungu Zaidi. Mariamu Magdalene alikuwa mtu wa mwisho msalabani (Marko 15:47) Mariamu Magdalene ndiye mtu wa kwanza kaburini mwa Yesu Kristo.(Yohana 20:1). Marimau Magdalene ndiye wa …
Category: WANAWAKE SABA WENYE IMANI YA BIBLIA
MARIAMU-IMANI INAYO ABUDU
LUKA 10:39 UTANGULIZI Mariamu wa Bethania alikuwa dada mkubwa wa Martha na Lazaro. Huyo mariamu aliabudu kwa miguu ya Kristo. Yeye anaitwa Mariamu wa Bethania. Bethania ni Kijiji karibu na mji wa Yerusalemu. Nyumba ilikuwa ya Martha pengine Martha alikuwa mjane. Martha ni yeye alaiyemualika Yesu Kristo kwake (Luka 10:38) pengine Mariamu alikuwa ndiye dada …
SARA– IMANI YA KUWA NA JAMII
SOMO: YEREMIA 32:27, MWANZO 18:1-15 UTANGULIZI Je, ni jambo gani lililokupeleka mbali na Mungu wako. Mungu anataka wewe ufahamu kwamba yeye anayaweza yote,na sharti tumpe nafasi katika maisha yetu. Mungu atayabadilisha maisha yetu na kuyajibu maombi yetu. Katika Yeremia 32:27, Mungu anawauliza waisraeli swali, “Tazama, Mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; …
ESTA– MWANAMKE ALIYE SEMA NDIO KWA MUNGU
ESTA 2:5 ; 3:13 UTANGULIZI Esta aliishi kwa Imani. Maisha yake Esta inatuonyesha kwamba Mungu anaye mpango na mahali na nafasi kwa kila mmoja wetu. Kila Mtu anayo Historia, lakini tunawakumbuka wale walio tembea katika Imani wakawa wenye kuunda historia. Historia ya Esta inatufundisha kwamba Mungu anachangia pakubwa sana katika historia maana historia ni kazi …
HANNA– IMANI INAYO OMBA
I SAMWELI 1:1-11 UTANGULIZI Hanna ni picha nzuri ya mama na umama. Hana alitaka kuwa na watoto wake. Hana alimwomba Mungu mtoto na kumlea kwa kazi ya Mungu. Elkana alikuwa kuhani hasiye mwaminifu kabisa, maana alikuwa na wake wawili. Kuhani mkuu alikuwa Eli, naye alikuwa na wana wawili yaani; Hofni na Finehasi, wote wawili walikuwa …
RUTHU– IMANI YA KUOKOKA
RUTHU 1:1-22 UTANGULIZI Imani aina saba zinapatikana katika maisha ya Imani ya wanawake saba katika Biblia. Ruthu– Imani inayo okoa, Esta-Kuishi kwa Imani, Mariamu-Magdalene-Kufuata kwa Imani, Mariamu dadake lazaro– Imani inayo abudu, Hanna– Imani inayo omba, Prisila– Imani ya kutumika, Sara– Imani ya kuwa na Jamii. Ruthu alikuwa mwanamke wa Imani . Uamuzi wa Imani …