MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 10:1-21 Leo tunajifunza jinsi ya kupokea uguzo mpya kutoka mbinguni. Hakuna chochote kimeandikwa kinyume juu ya maisha na huduma ya nabii mkuu Danieli na manabii wachache tu katika Biblia wasiokuwa na lawama. Danieli aliishi katika mazingira mabaya sana maisha yake yote. Maadui walikuwa wengi sana juu ya maisha …
Category: Swahili Service
SABINI MARA SABA (70×7) HESABU YA MUNGU.
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 9:1-27 (23-27) Danieli mlango wa tisa ni unabii wa maana sana katika neno la Mungu. Katika mlango huu Mungu anatwambia kitakachofanyika na wakati na ratiba ya mipango yake. Danieli mlango wa sita una zungumza juu ya mtu, yaani Yesu Kristo. Hapa Mungu mwenyewe anajifunga kwa ratiba ya mpango …
DUNIA ITAONGOZWA NA WANYAMA MPAKA YESU ARUDI.
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 7:1-28. Katika siku hizi tunaona kama watu wa Mungu wanaendelea kupoteza. Lakini usife moyo. Jipe moyo na ujasiri katika ushindi mkuu unaokuja, na uwe tayari, Yesu Kristo anaokuja kutupa ushindi huo. Katika dunia inayoongozwa na wanyama hakuna usalama. Hakuna usalama katika mwanadamu, bali unatoka mbinguni. Usalama hauletwi na …
SIMBA KATIKA TUNDU LA DANIELI!!
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 6:1-28 Danieli anatupatia mfano mwema wa jinsi ya kuishi maisha. Danieli alikuwa mtu wa Mungu katika nchi ya kigeni, tamaduni za mwanadamu bila Mungu. Sisi nasi tunaishi katika nchi ambayo Yesu Kristo na Ukristo zinapingwa sana kila kuchao. Katika mlango wa kwanza, Danieli alikataa kula chakula cha mfalme …
MUNGU ALIMGEUZA MFALME AKAWA NG’OMBE
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 4:1-37 Kiburi cha mfalme Nebukadreza kiliongezeka na kupanda juu zaidi. Mungu alimpa mfalme Nebukadreza ndoto kama onyo. Kwa kukataa ile ndoto na kutubu dhambi yake Nebukadreza alienda kichaa na wazimu wa kuwa mnyama, akala nyasi kama ng’ombe, akatembea miguu nne, akamea ngozi kama jinsi ng’ombe, akaingia porini kama mnyama …
VITA JUU YA IBADA.
MFULULIZO: DANIELI MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 3:1-30 Shetani adui yetu yuko vitani dhidi ya wale wanao mwabudu Mungu katika kweli na Roho. Leo tutazitazama silaha anazotumia na jinsi ya kushida vita juu yake. Mwongozo wa kitabu cha Danieli ni ukuu wa Mungu wetu Yehova Mungu wa Israeli. Mungu ni mwenye nguvu zote, tena …
NYAKATI ZA UFALME WA MATAIFA
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU. SOMO: DANIELI 2:31-49 Leo tunatazama unabii aliouona mfalme Nebukadreza katika ndoto ya yule sanamu. Nebukadreza aliota ndoto iliyomsumbua maisha yake. Kitabu cha Danieli ni msingi ya unabii wa Biblia. Ufunuo ni tafsiri ya ule unabii. Leo tunatazama historia na Biblia kuonyesha jinsi Biblia ni kitabu cha ajabu-Danieli 2:31. Mfalme Nebukadreza …
USIDHARAU NDOTO ZAKO
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU SOMO: DANIELI 2:36-49; MATHAYO 13:25. Kabla ya kuendelea na somo letu katika kitabu cha Danieli, nimeona vyema kufundisha juu ya ndoto na tafsiri zake. Hii ni kwa sababu kitabu cha Danieli ni kitabu cha unabii na unabii unaenda sambamba na ndoto na maono (dreams, visions and interpretations). Tunajifunza ndoto nzuri …
MUNGU WA DANIELI
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE HAKIMU SOMO: DANIELI 2:1-20 Danieli alipewa na Mungu maarifa na ujuzi katika elimu na hekima. Zaidi ya hayo Danieli alikuwa na ufahamu katika maono yote na ndoto. Maarifa, ujuzi, ufahamu na hekima ndizo tunahitaji ili kupanda mpaka juu zaidi. Luka 21:15, “Kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu …
TUMEITWA TUTENGENEZE HISTORIA.
MFULULIZO: DANIELI-MUNGU NDIYE MHUKUMU. SOMO: DANIELI 1:1-21 Mapenzi ya Mungu ni tuwe watu wa kutengeneza historia katika maisha ya watu wengine. Leo tumeanza mfululizo wa jumbe katika kitabu cha nabii Danieli. Mwongozo wa kitabu cha Danieli ni “Mungu anatawala juu ya yote” “God is sovereign.” Kila mlango katika Danieli unazungumza juu ya ukuu wa …