SOMO: LUKA 5:27-32 UTANGULIZI Kisa cha Lawi, aliyeitwa kwa jina lingine Mathayo ni cha mtu aliyefanya mapatano na serikali ya Roma kutoza ushuru kutoka kwa Wayahudi wenzake. Kazi yake Lawi ilimtenga na watu na jamii yake. Hivyo marafiki zake walikuwa watu wakutoza ushuru. Lawi alitengwa na kuchukiwa na watu, majirani na jamii. Mabadiliko katika …
Category: MITUME WA YESU KRISTO
MAMA YAO ALIPENDA WAWE KAMA KRISTO-YAKOBO
SOMO: MATHAYO 20:17-28,MARKO 10:35-45 UTANGULIZI Wanadamu wanapenda sana uongozi, mamlaka na uwezo. Mke wa Zebedayo, hau mama yao Yakobo na Yohana alipenda sana wanawe wapate mahali pa uongozi na mamlaka, upande we kuume na kushoto kwa Yesu Kristo na ufalme wake. Pia na wao Yakobo na Yohana walipenda sana wakajiulizia wenyewe.(Marko 10:35-45). Watu wanapenda sana …