SOMO: WAEBRANIA 11:1-7
UTANGULIZI
Kila mtu anayo Imani kiasi Fulani. Kila siku sisi zote tunatumia Imani. Unapoakisha taa unayo Imani kwamba mwangaza utatokea. Unapoingia gari unayo Imani utafika uendako, unapotumana barua unayo Imani itafika kwa anwani yake. Katika maisha ya Roho, wengine Imani yao imo katika korani na mitume, wengine Imani yao imo katika kuzaliwa mara nyingi na katika Nirvana. Wengine Imani yao imo ndani ya Nafsi zao na katika matendo yao mema, Lakini kiini hasa cha Imani ni tengemeo lenyewe. Sisi tuliookoka Imani yetu imo katika Kristo Yesu (Matendo 4:12)
Leo tutazaame mambo mawili, Imani ni nini? Na jinsi Imani inafanya kazi. Hebu tujifunze:-
I. IMANI NI NINI ? (Waebrania 11:1-3)
Watu wengi wanaelewa Imani kimakosa.
II. JINSI IMANI INAFANYA KAZI YAKE (Waebrania 11:4-7)
2. Pili, Imani ya Kweli Inatembea na Mungu. Henoko (11:5-6) (Mwanzo 5:4).
3. Tatu, Imani ya Kweli inamtumikia Mungu– Nuhu (V.7)
MWISHO
¨ Imani itakupa bayana, na hakika , kumwabudu Mungu kama jinsi Habili.
Kutembea kama Henoko na kutumika kama Nuhu.
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…