UJUMBE: USHINDI KATIKA VITA VYA MAISHA
SOMO: 2 YOHANA 4:4
Ushindi wako uko karibu zaidi kuliko hapo Mwanzo. Hii ni kwa sababu ulizaliwa kuwa mshindi. Wewe ni mshindi kwa sababu ndani yako kuna kitu ambacho shetani hawezi kuvunja. Maisha na uhai uliopokea tangu kuokoka.
Kesi yako haijafungwa mpaka wewe mwenyewe kuifunga. Haijalishi mahali ulipo sasa, au hali yako ya sasa, ulizaliwa mshindi.
Maisha ni vita na kila atakaye faulu ni lazima kupigana. Jiinsi unavyopigana ndivyo ushindi wako utakuwa mwingi. Hakuwezi kuwa na ushindi bila vita, ni baada ya vita mshindi hutangazwa.
Wakristo wengi bado hawajaamini wako vitani, lakini tunapigana kila siku na vita vyetu ni vya kiroho- 1st Wakorintho 2:14.
Hivyo ulizaliwa kupigana vita na pia ulizaliwa kushinda vile vita- 1st Yohana 4:4.
Shetani hakuogopi lakini anaogopa yeye aliye ndani yako- Yesu Kristo.
Ulitawazwa kushinda vita vyote lakini sharti upigane vile vita upate ushindi ulio tayari kwa ajili yako. Hebu tuone:-
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…
View Comments
Great to get such knowleadge
My our heavenly God bless you for a wonderful and powerful sermon.