MFULULIZO: KURUDI KWA YESU KRISTO
SOMO: LUKA 16:19-31.
Kifungu cha leo kinatueleza juu ya mahali paitwapo jehanamu au kuzimu. Katika ulimwengu wa leo watu wengi hawaamini kuna mahali paitwapo kuzimu. Lakini Biblia ni neno la Mungu na Mungu ni mkweli. Hata ingawa Biblia inatufundisha sana juu ya kuzimu watu wengi bado hawakuamini neno la Mungu. Kuna vikundi vitatu vinavyopinga jambo la kuzimu.
KUZIMU- NI MAHALI PA HISIA (SENSATION)-Luka 16:23-25.
Akiwa kule kuzimu, mtu tajiri aliweza kuona, kisikia, kuongea, kujisikia, alikuwa na mahitaji, aliweza kuwaza na kufikiria.
KUZIMU NI MAHALI PA KUTENGANA (SEPARATION)-Luka 16:26.
Bado huyu tajiri hajajua jina linalookoa.
MWISHO
Si lazima yeyote kwenda kuzimu, mapenzi yake ni wokovu kwako.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…