MFULULIZO: KURUDI KWA YESU KRISTO
SOMO: LUKA 16:19-31.
Kifungu cha leo kinatueleza juu ya mahali paitwapo jehanamu au kuzimu. Katika ulimwengu wa leo watu wengi hawaamini kuna mahali paitwapo kuzimu. Lakini Biblia ni neno la Mungu na Mungu ni mkweli. Hata ingawa Biblia inatufundisha sana juu ya kuzimu watu wengi bado hawakuamini neno la Mungu. Kuna vikundi vitatu vinavyopinga jambo la kuzimu.
KUZIMU- NI MAHALI PA HISIA (SENSATION)-Luka 16:23-25.
Akiwa kule kuzimu, mtu tajiri aliweza kuona, kisikia, kuongea, kujisikia, alikuwa na mahitaji, aliweza kuwaza na kufikiria.
KUZIMU NI MAHALI PA KUTENGANA (SEPARATION)-Luka 16:26.
Bado huyu tajiri hajajua jina linalookoa.
MWISHO
Si lazima yeyote kwenda kuzimu, mapenzi yake ni wokovu kwako.
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…