SOMO: LUKA 2:36-38.
Kuokoka ni kuishi maisha ya kutarajia ukombozi wa Mungu. Mungu anawabariki wanaomtarajia Mungu katika kuomba kwa kufunga na kuomba. Katika ibada ya kingereza tunatazama maisha na kazi ya Simioni. Simioni na Ana ni watu wawili wasio ubiriwa sana wakati huu wa Krismasi.
Leo tunatazama maisha na huduma ya Ana mke nabii. Simioni na Ana walitarajia sana kuzaliwa kwa Mwokozi Yesu Kristo. Mara kwa mara tunakumbuka mamajuzi na wachungaji kondoo, lakini Simeoni na Ana wanasahaulika sana. Basi wacha nikualike Yerusalemu katika hekalu na tukutane naye Ana aliyeutarajia ukombozi wa Israeli. Hebu tuone:-
UMRI WAKE ANA-Luka 2:36-37.
UPWEKE WA ANA-Luka 2:37.
UTUMISHI WAKE ANA-Luka 2:37-38.
Ana alimtumikia Mungu kwa kuomba na kufunga.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…