SOMO: LUKA 2:36-38.
Kuokoka ni kuishi maisha ya kutarajia ukombozi wa Mungu. Mungu anawabariki wanaomtarajia Mungu katika kuomba kwa kufunga na kuomba. Katika ibada ya kingereza tunatazama maisha na kazi ya Simioni. Simioni na Ana ni watu wawili wasio ubiriwa sana wakati huu wa Krismasi.
Leo tunatazama maisha na huduma ya Ana mke nabii. Simioni na Ana walitarajia sana kuzaliwa kwa Mwokozi Yesu Kristo. Mara kwa mara tunakumbuka mamajuzi na wachungaji kondoo, lakini Simeoni na Ana wanasahaulika sana. Basi wacha nikualike Yerusalemu katika hekalu na tukutane naye Ana aliyeutarajia ukombozi wa Israeli. Hebu tuone:-
UMRI WAKE ANA-Luka 2:36-37.
UPWEKE WA ANA-Luka 2:37.
UTUMISHI WAKE ANA-Luka 2:37-38.
Ana alimtumikia Mungu kwa kuomba na kufunga.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…