SOMO: MAOMBOLEZO 1:6 –12
UTANGULIZI
Haya ni maombolezo makali sana. Mkimbizi ako katika shida kubwa kwa sababu anafuatwa na wenye nguvu zaidi kuliko yeye. Mtu anayefuatwa hawezi kupumzika. Hakiwa bila nguvu, basi yeye amepatikana. Maombolezo 1:6- “Naye huyu binti Sayuni, Enzi yake imemwacha; wakuu wake wamekuwa kama ayala anayewafuatia”.
Bila nguvu mkimbizi anakuwa bila haja ya kukimbia. Hivyo ndivyo ilvyo hali ya wengi wetu. Tumekuwa na adui nyumbani kwa baba, nyumbani kwa mama, wakwe zetu, kazini, kanisani, sokoni, nasi hatuna nguvu!! Je, wanao kufuata ni nani ? Je, unafuatwa na hasira, tamaa mbaya, hofu, ndoto mbaya, mazingaombwe, wachawi, bahati mbaya, njaa, umaskini, vuguvugu, kurudi nyuma, dunia, usharati, Je, mambo yaliyokuwa bali nawe yamesongea karibu nawe ? Je, magonjwa ya zamani yameaza kukurudia? Kanuni ya Kiroho inasema “Kama mtu atarudia dhambi ya kitambo, basi shida za kitambo zitakurudia “ (Yohana 5:1-15) Hivyo, “dhambi za kitambo, shida za kitambo”
Kama njinsi ilivyo, Mkristo ndiye anahitaji kuwa anakimbiza dhambi na adui zake, lakini kinyume chake, wakristo wa sasa tumekosa nguvu. Kanuni nyingine ya roho inasema “kama nguvu kuu inakadhibiana na nguvu kidogo, nguvu ndogo lazima kutii na kujisalimisha” hivyo kama huna nguvu, mbele ya adui zako ni lazima shida iwemo.
Tujifunze:-
I. JINSI YA KUFUATIA ANAYE KUFUATIA (Zaburi 51:17)
II. JE, KUVUNJIKA NI NINI ?
III. UKWELI WA VITA VYA KIROHO (Waefeso 6:10-17)
* Utafahamu siri za Mungu, Mungu ataongea nawe
* Mishale ya shetani itashidwa, nyoka na inge watakuwa chini ya miguu yako
* Utakuwa tisho kwa shetani na malaika zake.
* Hautashirikiana na shetani .
IV. ISHARA ZA KUTOVUNJIKA
V. BASI TUFANYE JE ?
MWISHO
Omba:
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…