MFULULIZO: YUSUFU
SOMO: MWANZO 39:1-6.
Tulipokuwa na Yusufu hapo awali alikuwa amesalitiwa na nduguze na kuuzwa kama mtumwa kwa Waishimaeli kwa bei ya chini sana. Ndugu zake walimuuza kwa bei ya kiwete. Basi Waishimaeli na wao wakamuuza Yusufu huko Misri kwa mtu wa Misri aitwaye Potifa, mkuu wa askari mtu (mzaliwa) wa Misri.
Hebu kwa muda ujiweke katika viatu vya Yusufu. Umenyang’anywa nguo zako na koti (kanzu) ya rangi nyingi, umesalitiwa na ndugu zako, watu walio karibu na wewe, umetengwa kabisa na baba yako, umeuzwa kama mtumwa kwa nchi ya mbali ya kigeni.
Tazama jinsi hio safari ilikuwa ndefu katika mikono ya wafanya biashara ya watumwa!! Lakini Mungu alikuwa naye Yusufu!!
Hebu tuone jinsi ya kufahamu kwamba kile Mungu amefanyia wengine atakufanyia wewe pia. Hebu tutazame:-
MUNGU ALIMLINDA YUSUFU-Mwanzo 37:36.
MUNGU ALIMPA YUSUFU USTAWI-Mwanzo 39:2-3.
MUNGU ALIMPANDISHA YUSUFU CHEO-39:4-6
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…