I WAFALME 3:1-15
UTANGULIZI
Hekima na moyo wa Adili haupatikani, lakini hupeanwa. Haupatikani duniani lakini huteremka kutoka mbinguni. Inasemekana kwamba Mungu alimpenda Sulemani (2 Samweli 12:24). Sasa inasemekana kwamba Sulemani naye alimpenda Bwana (V.3). Mungu anakupenda, hivyo nawe mpende Mungu wako. Sulemani mfalme alienda Gibeoni kutoa sadaka mbele za Mungu. Akatoa sadaka Elfu kondoo. Sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu ile. Moyo wa Sulemani ulijaa mafikira ya utakatifu wa Mungu, umbaya wa dhambi na utakaso wa moyo. Sulemani alilala usiku huo akiona unyonge wake na nguvu za Mungu. Usiku huo huo Mungu alimtokea Sulemani katika ndoto. Ndoto ni njia moja Mungu hunena na watu wake.
Hebu joo karibu tutazame:-
I. MUNGU AKAMWAMBIA, OMBA UTAKALO NIKUPE (3:5)
II. UCHANGUZI BORA WA SULEMANI (3:9)
Huu ni uchaguzi Bora Maana:-
III. JIBU LA MUNGU KWA MFALME SULEMANI (3:12-13)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…