DANIELI 1:1-21
UTANGULIZI
Kitabu cha Danieli kimetupwa katika tundu la simba kama Danieli mwenyewe.Wengine wanakataa kitabu cha Danieli kwa sababu ya miujiza na unabii uliopo. Lakini Yesu Kristo alikitaja sana kitabu cha Danieli hivyo kukipatia kiti katika maadiko matakatifu. Sir Isaack Newton alisema, “ Ukristo umejengwa juu ya unabii wa Danieli”. Baada ya Yerusalemu kunusuriwa na mfalme wa Babeli mwaka wa 605 B.C. Danieli na wezake walishikwa mateka na kupelekwa Babeli, maili 800 hau Kilomita 1,200. Danieli alikuwa na umri wa miaka 14 wakati huo. Kitabu cha Danieli kina sehemu mbili (1) Maisha ya Danieli (1-6), (2) Maono ya Danieli (7-12). Katika Danieli twajifunza kwamba 1. Mungu yuko katika enzi na anaogoza dunia hii 2. lengo la maisha, 3. Kusubiri na kuvumilia 4. Uaminifu wa Mungu.
Hebu tuone:-
I. TABIA YA DANIELI (1:3-5)
II. MAJARIBU YA DANIELI (Danieli 1:5-6)
III. AZIMIO YA DANIELI (Danieli 1:8)
“Lakini Danieli aliazima moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme wala divai aliyokunywa” (Warumi 14:21)
IV. DHAWABU YA DANIELI (Danieli 1:9-21)
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…