MAKANISA SABA YA UFUNUO
UFUNUO 2:1-7
Yesu Kristo anatembea katikati ya makanisa yake. Anaelewa sana na hali na shughuli katika kanisa lake. Haya makanisa saba ya ufunuo yanaweza kutazamwa kwa njia tatu.
Hebu tutazame nyaraka hizi kama ujumbe tulioandikiwa sisi wenyewe na kanisa letu. Kanisa la Efeso, lilikuwa pale mji wa Efeso. Hili tupate kuelewa na ujumbe wa Yesu Kristo kwa kanisa la Efeso, kwanza ni kuelewa na jinsi mji wa Efeso ulivyokuwa.
“Nikolatans” walianzilishwa na mtu kwa jina Nicolas-Nicholas alifundisha hili ufahamu dhambi ni lazima kuitenda. Yaani endelea kumtumikia Bwana hata ingawa unaishi dhambini.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…
View Comments
Asante.sana Mungu akubariki,
Ameni
Thanks for your teachings
Amina,ubarikiwe mtumishi wa Mungu.