MAKANISA SABA YA UFUNUO
UFUNUO 2:1-7
Yesu Kristo anatembea katikati ya makanisa yake. Anaelewa sana na hali na shughuli katika kanisa lake. Haya makanisa saba ya ufunuo yanaweza kutazamwa kwa njia tatu.
Hebu tutazame nyaraka hizi kama ujumbe tulioandikiwa sisi wenyewe na kanisa letu. Kanisa la Efeso, lilikuwa pale mji wa Efeso. Hili tupate kuelewa na ujumbe wa Yesu Kristo kwa kanisa la Efeso, kwanza ni kuelewa na jinsi mji wa Efeso ulivyokuwa.
“Nikolatans” walianzilishwa na mtu kwa jina Nicolas-Nicholas alifundisha hili ufahamu dhambi ni lazima kuitenda. Yaani endelea kumtumikia Bwana hata ingawa unaishi dhambini.
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…
View Comments
Asante.sana Mungu akubariki,
Ameni
Thanks for your teachings
Amina,ubarikiwe mtumishi wa Mungu.