MFULULIZO: JINSI YA KUFANYA VITA VYA KIROHO
SOMO: EZEKIELI 28:12-19; WAEFESO 6:12; ISAYA 14:12-17
Katika mfululizo huu juu ya vita vya kiroho, tutazingatia sana amri kuu tuliyopewa na Yesu Kristo- “Mpende Bwana Mungu wako, mpende jirani yako kama jinsi ujipendavyo mwenyewe.” Amri kuu ndio msingi wa vita vya kiroho. Lazima kuelewa na uhusiano wako na Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Kuokoka ni jambo la uhusiano na Mungu.
Vita unavyopigana kila siku ni vita vya kiroho. Vita vya kiroho si vita na mwanadamu lakini ni vita dhidi ya mamlaka- Waefeso 6:12. Unapopigana na mwanadamu mwenzako, vita hizo zinamsaidia shetani ambaye ndiye kiini cha vita vya kiroho.
Kanisa ulimwenguni wote katika historia imepoteza wakati kupigana vita vya mgawanyiko juu ya ‘doctrine.’ Vita vya namna hii haviwezi kusaidia Injili, bali Injili ya msamaha ndio tumeitiwa.
Hebu tujifunze:-
UWEPO WA MAOVU
SHETANI NI NANI?
WATOTO WA SHETANI NI DHAHIRI- 1 Yohana 3:10
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…