MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA
SOMO: 2 WAFALME 13:14-21
Wengi walisema kifo cha Elisha kilikuwa mwisho wake na huduma yake. Lakini Mungu aliendelea kumtumia Elisha hata katika kaburi lake!! Benny Hinn angali anaenda kupokea nguvu zake kwa kaburi ya Kathryn Kulman. Hivyo wewe nami tusijihuzuru katika kazi ya Mungu mpaka mauti na zaidi hata kukiwa kaburi zetu tutafute kuacha Kumbukumbu na mifumo ya urithi (legacy) kwa watoto wetu (never give up!! It is not over until God says it is over).
Leo twatamatisha mfululiza juu ya Maisha na nyakati za Elisha katika 2 Wafalme 13.
Elisha alikuwa na umri wa miaka 80. Alianza huduma ya unabii akiwa miaka 25. Elisha alimtumikia Eliya kwa miaka 7. Aliendelea kumtumikia Mungu kwa miaka 48.
Elisha sasa ni mgonjwa sana, pengine utasema kwa Elisha hajastaafu kazi ya unabii. Lakini anaendelea kutumika mpaka siku ya mwisho hapa duniani na leo twaona hata kaburini mwake bado Elisha anafanya kazi na miujiza!! Hebu tuone:-
TUMIKIA MUNGU WAKO MPAKA MWISHO-2 Wafalme 13:14-20.
WAACHIE WATU KUMBUKUMBU NA URITHI MFUMO WA KUIGA (Leave a legacy)-2 Wafalme 13:20-21.
KUFUFUKA KWA YESU KRISTO.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…