MATENDO 2:22-28
UTANGULIZI
Mwokozi Yesu Kristo aliuona uchungu wa mauti. Mwili wake ulikufa kweli, kweli. Lakini Kristo hakuona uaribifu maana Kristo alikuwa bila dhambi, dhambi ndio huleta uaribifu na kuoza na wadudu waletao kuoza. Hivyo mwili wa Kristo ulikombolewa na ufufuo ,Kristo asishikwe na kaburi. Kaburi inashika watu, ili mauti yafanye kazi kamilifu. Mfalme Theodosius wa Ugiriki aliwafungulia huru wafungwa wote, Basi akasema, “Ninaomba Mungu naye afungue makaburi yote na kuwapa wafu wote uzima kutoka kwa mauti” Siku moja maombi ya Theodosius yatajibiwa, wafu watafufuliwa (Danieli 12:1-4)
Hebu tuone:-
I. HAIKUWEZEKANA NGUVU ZA MAUTI KUMSHIKA BWANA.
II. HAIWEZEKANI NGUVU ZOZOTE KUSHIKA UFALME WAKE.
III. HAIWEZEKANI KUSHIKA MATEKA CHOCHOTE KILICHO CHA KRISTO
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…