MATENDO 2:22-28
UTANGULIZI
Mwokozi Yesu Kristo aliuona uchungu wa mauti. Mwili wake ulikufa kweli, kweli. Lakini Kristo hakuona uaribifu maana Kristo alikuwa bila dhambi, dhambi ndio huleta uaribifu na kuoza na wadudu waletao kuoza. Hivyo mwili wa Kristo ulikombolewa na ufufuo ,Kristo asishikwe na kaburi. Kaburi inashika watu, ili mauti yafanye kazi kamilifu. Mfalme Theodosius wa Ugiriki aliwafungulia huru wafungwa wote, Basi akasema, “Ninaomba Mungu naye afungue makaburi yote na kuwapa wafu wote uzima kutoka kwa mauti” Siku moja maombi ya Theodosius yatajibiwa, wafu watafufuliwa (Danieli 12:1-4)
Hebu tuone:-
I. HAIKUWEZEKANA NGUVU ZA MAUTI KUMSHIKA BWANA.
II. HAIWEZEKANI NGUVU ZOZOTE KUSHIKA UFALME WAKE.
III. HAIWEZEKANI KUSHIKA MATEKA CHOCHOTE KILICHO CHA KRISTO
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…