MFULULIZO: KURUDI KWA YESU KRISTO
SOMO: MATHAYO 24:1-14
Wakati huu wa virusi vya corona (Covid-19) watu wengi duniani wamewaza sana maneno ya Yesu Kristo aliyoyasema juu ya mlima wa Mizeitum katika Mathayo 24. Ujumbe huu wa Yesu Kristo ndio mrefu zaidi katika ujumbe zake duniani, Yesu Kristo yuaja tena! Hakuna taswishi juu ya kurudi kwake duniani. Katika Mathayo 24, Bwana wetu anatazama siku zijazo na kutueleza juu ya kuja kwake mara ya pili. Katika mfulilizo huu wa ujumbe kwa Kiswahili tutajifunza zaidi habari za kuja mara ya pili kwa Mwokozi wetu. Hata ingawa, Bwana hakutueleza siku hasa ya kuja kwake, yeye mwenye alitupa ishara za kurudi kwake.
Chochote alichosema Mwokozi wetu lazima kutimia. Hebu leo tuone maneno ya hakika ambayo lazima kutendeka kulingana na unabii wa Bwana wetu Yesu Kristo:-
I. JAMBO LA KWANZA –HAKIKA YA UFUPI WA WAKATI HAPA DUNIANI (MATHAYO 24:1-2)
II. JAMBO LA PILI – HAKIKA TAFADHALI TAFUTA UKWELI WA KIROHO KUTOKA KWA BWANA YESU PEKEE. (MATHAYO 24:3-5)
III. JAMBO LA TATU – HAKIKA YA UKUU WA WOKOVU (MATHAYO 24:6-9)
IV. JAMBO LA NNE – HAKIKA LAZIMA INJILI KUHUBIRIWA DUNIANI KOTE (MATHAYO 24:14)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…