ISAYA 54:17
UTANGULIZI
Ulinzi ni moja yao ya Baraka za Mungu kwetu wana wa Mungu. Kila mtoto wa Mungu anahitaji kufurahia ulinzi na usalama wa nafsi, mwili, roho na mali (Zaburi 23:4-5). Kama Mwana wa Mungu unalindwa kutoka kwa maovu na hatari. Mungu anataka tujue kwamba usalama na ulinzi wetu haumo mikononi mwa mtu hau watu lakini dani ya Bwana mwenyewe. Mfalme wa Shamu alituma majeshi yake juu ya Israeli, mtumishi wake Elisha alifadhaika sana “Ole wetu ! Bwana wangu tifanyaje ? Elisha akamjibu, usiogope maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao (II Wafalme 6:14-18). Mungu aliyafumbua macho ya mtumishi wa Elisha, mtumishi akayaona majeshi, farasi na magari ya moto yakiwazunguka. Elisha alifahamu kwamba Mungu ni ulinzi na usalama wake. Ikiwa Mungu alimlinda Elisha, basi yeye atakulinda wewe. Ametupatia Roho mtakatifu kutembea nasi katika maisha na malaika wengi zaidi (Waebrania 1:14). Hivyo tembea katika maisha bila shaka na hofu bali kwa ujasiri wa moyo. Haijalishi unayoyapitia na nani anayekupangia maovu.hata unapojisikia wewe upeke yako, kumbuka (I Yohana 4:4) Ulinzi na usalama ni urithi wa watumishi wa Mungu. Hivyo ona mambo matatu katika kifungu hiki:
Hebu tuone:-
I. KWANZA: KUFUNUA ADUI YETU
Adui zetu ni watatu:
II. PILI: KUFUNUA BINU ZA SHETANI (2 Wakorintho 2:11)
III. TATU: USHINDI WETU JUU YA SHETANI
Hivyo:
IV. NNE: SILAHA HAZITAFAULU KWA SABABU:
Kwa sababu silaha hazitafaulu, hivyo:
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…