I SAMWELI 1:1-11
UTANGULIZI
Hanna ni picha nzuri ya mama na umama. Hana alitaka kuwa na watoto wake. Hana alimwomba Mungu mtoto na kumlea kwa kazi ya Mungu.
Elkana alikuwa kuhani hasiye mwaminifu kabisa, maana alikuwa na wake wawili.
Kuhani mkuu alikuwa Eli, naye alikuwa na wana wawili yaani; Hofni na Finehasi, wote wawili walikuwa waasi (I Samweli 2:12,17,29)
Imani ya Hana ilikuwa katika hali ngumu sana, Penina alikuwa mke mwenza mwenye chuki na matusi ya kila siku. Penina alifikiri kwamba Hanna alikuwa tasa, lakini kumbe Mungu alimfunga tumbo. Kuna watu wanafikiri wewe ni tasa, kumbe wakati wako ujafika !! Samweli twafahamu lakini watoto wa Penina. Penina alifikiri matusi yake yatamfanya hana kukata tamaa, kumbe yalimfanya Hana kuomba kwa Imani. Watu wanao kuchukia wanafanya Baraka za Mungu kutimia katika maisha yako.
Hebu Tuone:-
I. HATUA SABA ZA MAJIBU KWA MAOMBI.
Mahitaji makuu yanatuelekeza kwa maombi,
Mahitaji makuu yatufanya kuomba na kutoa sadaka.
Sadaka kuu inatufanya kuzidi katika maombi.
Imani kuu huzaliwa kutokana na mahitaji makuu, tamaa kuu na sadaka kuu (V.11)
Imani kuu huleta majibu makuu.
Majibu makuu lazima kufuatiliwa
Hana alifanya Ibada Kuu
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…