II MAMBO YA NYAKATI 29:1-36
UTANGULIZI
Ufufuo huwezi kuja kanisani mpaka viongozi wa kanisa kufufuliwa kwanza. Kanisa ni kama vile samaki, samaki anaanza kuoza kwa kichwa chake. Maitaji kuu ya kanisa hii la FBC ni ufufuo kutoka moyo. Pesa ni ya maana sana, lakini kwanza tunahitaji ufufuo wa watu walio kwa mioyo yao wamejitoa kwa ushuhuda wao kwa Kristo Bwana.
Mfalme Ahazi aliharibu Yuda na Israeli kwa vita. Alifunga nyumba ya Mungu (Hekalu). Uchumi wa Yuda ulikufa, jeshi lake liliangamia vitani na hivyo hapakuwa na uongozi Yuda miaka yote ya mfalme Ahazi. Lakini Ahazi alipoendelea kuangamiza maisha yake na maisha ya Yuda, Mungu alikuwa anaandaa kiongozi, mwana wake Ahazi – yaani Hezikia. Hezekia alikuwa wa baba mbaya zaidi (Ahazi), lakini pamoja na baba mbaya Hezekia alikuwa na mama yake Abiya, binti yake Zekaria. Unakumbuka Zekaria kuhani alimsaidia sana mfalme Uzzia na Zekaria alifanya kazi pamoja na Isaya nabii. Haijalishi, umbaya wa jamii ulikozaliwa, uamuzi wako na nguvu za Yesu Kristo zinaweza kuvunja ngome za uovu wa jamii. Leo twaona jinsi ufufuo wa Hezekia ulivyo bandilisha Yuda. Lakini ufufuo unaanza kwa viongozi wa kiroho. Hebu tuone jinsi ufufuo unaanza na jinsi ufufuo unadumu:-
I. MWITO WA KUJITENGE (29;3-7) UTAKASO.
II. MWITO WA KUJISALIMISHA KWA MUNGU (29:20-28)
III. MWITO WA KUTOA SADAKA (29:31-36)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…