UTANGULIZI
Tunaishi katika kizazi kinacho amini kwamba kushinda ndio mambo yote. Hata kanisa limeamini Imani ya kweli lazima ushindi na maendeleo ya binafsi, Injili ya “Afya na Utajiri”. (Health and wealth gospel) lime tujulisha ikiwa wewe si tajiri na mwenye afya nzuri umekosa Imani. Lakini sivyo kulingana na Biblia. Leo mwandishi wa Waebrania anatujulisha kwamba Imani kiini chake ni mambo mawili. Imani ndio ushindi lakini pia Imani ni kustahimili katika shida, mateso, dhihaka na mauti.
Hebu tujifunze:-
I. KWANZA, USHINDI MKUU WA IMANI (Waebrania 11:32-35)
II. PILI, KUSTAHIMILI KWA IMANI. (Waebrania 11:35-40)
MWISHO
¨ V.40, Hadithi ya Imani haiwezi kukamilishwa bila wewe na mimi !! Mungu anaendelea kuandika safari ya Imani yako !!
¨ Maisha ya Imani si ya “wachache waliochanguliwa”
¨ Maisha ya Imani yanawezekana kwa kila aminiye katika kila hali ya maisha.
¨ “Imani ndio ushindi”
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…