MFULULIZO: RUTHU
SOMO: RUTHU 1:1-2.
Katika somo letu leo, naomba kukuonyesha jamii iliyoishi katikati ya watu lakini kwa sababu ya wakati mgumu, walifunga virago vyao na kwenda nchi ya Moabu.
Pengine wewe ungesema “kwani kuna shida gani kuhama?” Je, si watu wanahama kila wakati?” hii ni kweli lakini ukiona jambo katika Biblia, lipo hapo kwa sababu.
Mungu aliweka kitabu hiki cha Ruthu katika Biblia hili tupate somo kutokana na maisha yao. Hebu tuone:-
JE, MASKOSA YAO ILIKUWA NINI?
NYUMBA MPYA YA NAOMI-Ruthu 1:2.
“…..wakafika nchi ya Moabu, wakakaa huko.”
WALIENDELEA KUISHI NA KUKAA MOABU KWA SABABU WAMOABU WALIKUWA NA KITU CHA KUWAPA.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…