SOMO: ZABURI 121:1-3
Kila mmoja wetu anahitaji msaada katika kila eneo ya maisha.
Tunahitaji msaada wa Mungu kwa maana peke yetu hatuwezi- Yohana 15:5.
Msaada wetu u katika Mungu ambaye hawezi kushindwa. Bila Wewe Bwana siwezi. Hebu tuone.
UKUU WA MSAADA WA MUNGU (superiority of divine help)
UMUHIMU WA MSAADA WA MUNGU (The necessity for divine help)- Zaburi 127:1
UWEPO WA MSAADA WA MUNGU (The availability of divine help).
Basi tufanyeje kupokea msaada wa Mungu kila wakati?
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…