SOMO: WAFILIPI 3:13-14.
Katika siku hizi za mwisho, watu wamebeba na kubebeshwa mizigo zaidi. Je, utafanya nini? Je, utaongea na pasta wako, rafiki yako au utamwendea mshauri wa kulipa?
Katika Wafilipi 3:13-14, Mtume Paulo anatueleza jinsi ya kutwika mizigo yetu nzito kwa Mungu. Je, nitafanya nini na mizigo yangu nzito?
SAHAU NA SAMEHE YALIYO NYUMA-Vs. 13.
CHUCHUMULIA YALIO MBELE.
KAZA MWENDO-MTAZAME KRISTO-Vs. 14.
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…