MATHAYO 11:12
UTANGULIZI
Hatima ya mtu inapokuwa tisho kwa adui lazima hatima hiyo kushambuliwa. Wakristo wengi wanashangaa kwa nini vita vya kiroho ni nyingi kwao. Unaposhambuliwa na sheatni unahitaji kumsifu Mungu kwa sababu kuna kitu cha maana dani ya maisha yako cha kupiganiwa. Wengine hawana vita kwa maana hakuna cha kushindania dhidi ya maisha yao. Pamoja na wokovu , Mungu ametupa silaha nyingi za vita. Hata ingawa vita vilishindwa miaka 2000 iliyopita, bado shetani hako vitani na watakatifu. Katika Mathayo 11:12 “Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa, ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka”.
Haijalishi yale unayapitia, hau ni nani amekunyemelea, tunahitaji neno moja tu kutoka mbunguni na dhoruba yako ikatulia, waliokukamata hata wao Bwana atawakamata. Chochote shetani amepanda ndani ya mwili, tumbo, roho na uzima wangu ninasukuma inje, katika Jina La Yesu. Kila roho ya kutokubalika ndani ya maisha yangu, toweka katika Jina La Yesu. (Zaburi 94:21-23)
I. MWAVULI NI NINI ?
II. HAINA ZA MIAVULI YA KIROHO
III. MILANGO YA MWAVULI YA UOVU.
Shida kubwa ya Afrika ni ibada za sanamu (Kutoka 20:3-5; Isaya 19)
IV. JINSI YA KUTOA MIAVULI YA UOVU.
MWISHO
Omba:
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…