MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA.
SOMO: 2 WAFALME 2:19-22
Ujumbe wa leo ni juu ya jinsi tunaweza kupata ukombozi juu ya maovu. Pengine wewe utasema pasta, mimi nimeokoka, hivyo tayari nimekombolewa kutokana na uovu wote, hivyo mimi sihitaji kusikia maujumbe juu ya ukombozi.
Lakini wewe unaishi dunia gani? Maana Biblia inazungumzia juu ya tenzi tatu za kuokoka. Tuliokolewa (past), tunaokoka (present), tutaokolewa (future).
Yesu Kristo alitia maanani sana juu ya ukombozi mpaka akatufundisha kwamba tunapoomba kusema, “Bali utuokoe na ubaya.” Hebu tutazame:-
TUNAHITAJI UKOMBOZI KUTOKANA NA MAMBO
SHIDA, CHANZO CHAKE NA DAWA YAKE
VIZUIZI VYA BARAKA ZAO
DAWA YA LAANA NA VIKWAZO VINAVYOZUIA BARAKA ZAKO- 2 Wafalme 2:20-21
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…