MFULULIZO: MAISHA NA NYAKATI ZA ELISHA.
SOMO: 2 WAFALME 2:19-22
Ujumbe wa leo ni juu ya jinsi tunaweza kupata ukombozi juu ya maovu. Pengine wewe utasema pasta, mimi nimeokoka, hivyo tayari nimekombolewa kutokana na uovu wote, hivyo mimi sihitaji kusikia maujumbe juu ya ukombozi.
Lakini wewe unaishi dunia gani? Maana Biblia inazungumzia juu ya tenzi tatu za kuokoka. Tuliokolewa (past), tunaokoka (present), tutaokolewa (future).
Yesu Kristo alitia maanani sana juu ya ukombozi mpaka akatufundisha kwamba tunapoomba kusema, “Bali utuokoe na ubaya.” Hebu tutazame:-
TUNAHITAJI UKOMBOZI KUTOKANA NA MAMBO
SHIDA, CHANZO CHAKE NA DAWA YAKE
VIZUIZI VYA BARAKA ZAO
DAWA YA LAANA NA VIKWAZO VINAVYOZUIA BARAKA ZAKO- 2 Wafalme 2:20-21
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…