SOMO: ZABURI 81:13-14
Zaburi 81 inaanza na mwaliko wa sifa na ibada. Iliandikwa kuwa Zaburi ya sifa kwa bara mwezi, inatueleza jinsi Mungu alivyo wakomboa wana Israeli kutoka utumwa Misri.
Zaburi hii iliandikwa na Asaphu, alikuwa nabii. Katika mistari ya 8-11, anaanza kutoa unabii kwa nguvu za Mungu, jinsi Israeli wamekataa kusikiza sauti ya Mungu na kukata, kumtii, hivyo Mungu amewaacha kwa mbinu na njia zao potevu.
Katika mistari ya 13-14, twaelezwa jinsi yalivyo mapenzi ya Mungu kuwashinda maadui zetu. Hivyo ujumbe wetu hivi leo ni “JINSI YA KUWASHINDA ADUI ZETU”-
KILA MMOJA WETU ANAO MAADUI.
Je, wewe unao maadui?
Mungu ameahidi ulinzi kwa watu wake-2 Mambo ya Nyakati 15:9, Zaburi 34:7, Zakaria 2:5, Luka 21:18.
Je, sisi tuko na adui ndani yetu?
NJIA MBILI KUPATA USHINDI
“Laiti watu wangu wangenisikiliza.”
“Enendeni katika njia zangu”-Zaburi 25:4.
NJIA YA YESU KRISTO KUWASHINDA ADUI.
Penda adui zako-Mathayo 5:43-45.
Shinda uovu kwa mema-Warumi 12:21.
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…