ZABURI 5:12
UTANGULIZI
Kitu kimoja kinachoweka wakristo wengi katika utumwa ni kutofahamu haki. Mtu anapookoka Mungu anamhamisha kutoka giza na kumweka kuwa kiumbe kipya. Mtu huyu anaingia katika ufalme wa Mungu na kuwa Mwana wa Mungu na Hivyo mrithui wa Mungu pamoja na Kristo Yesu. Mtu aliyeokoka amekuwa mtoto wa Mungu, hivyo uhusiano mpya upo, hivyo kila mwana wa Mungu anapata haki na uhuru wa kuwa mwana. Katika uhusiano huu mpya mwenye haki anapata kibali kwa Mungu. Mungu yuko tayari kubariki kila mwenye haki na pia kumlinda kupitia kibali chake. Kibali cha Mungu kinapokuwa juu ya Mtu, Mtu huyo atalindwa na upizani wowote wa mwanadamu. (Daniel 1:9). Baadaye, Daniel alipandishwa cheo hadi waziri mkuu katika inchi ya kigeni.
Hebu tujifunze:-
I. MAANA YA KIBALI CHA MUNGU
II. MWELEKEO WA KIBALI CHA MUNGU.
III. KIBALI KINAPO HARIBIKA.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…