DANIELI 4:1-37
UTANGULIZI
Huu ni ushuhuda wa mfalme Nebukadneza. Alitoa ushuhuda huu kama ujumbe wa serikali yake rasmi (V.1) mtu anaweza kufahamu mengi sana ya njia za Mungu na mapenzi yake, lakini mtu huyu awe mbali sana na neema inayo okoa. Nebukadneza alikuwa mtu aliyekubalika sana na Mungu, pia alikuwa na nafasi kuu kuokoka. Mungu alimwonyesha Ishara kuu juu ya enzi za mataifa katika historia ya ulimwengu huu. Alisikia Danieli mtu wa Mungu akitafsiri ndoto zake, aliona jinsi Mungu aliwaokoa Shedraki, Meshaka na Abednego kutoka motoni, pia Nebukadneza alikuwa tayari kushuhudia ukuu wa Mungu (3:29). Mungu pia alimwonya Nebukadneza (4:14,16,27). Leo hii Mungu amenena kwa neema kupitia , ndoto, maono, onyo na upendo, lakini mwanadamu anakataa neema na nuru ya Mungu.
Hebu tuone:-
I. MFALME KATIKA NYUMBA YAKE (PALACE) V.4
II. MFALME JUU YA KITANDA NA PILO YAKE (4:5)
III. MFALME KATIKA UNABII (4:20-27)
IV. MFALME NA KIBURI CHAKE (4:30)
V. MFALME KWA NYASI (4:31)
VI. MFALME KATIKA SIFA ZAKE (4:34-37)
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…