DANIELI 4:1-37
UTANGULIZI
Huu ni ushuhuda wa mfalme Nebukadneza. Alitoa ushuhuda huu kama ujumbe wa serikali yake rasmi (V.1) mtu anaweza kufahamu mengi sana ya njia za Mungu na mapenzi yake, lakini mtu huyu awe mbali sana na neema inayo okoa. Nebukadneza alikuwa mtu aliyekubalika sana na Mungu, pia alikuwa na nafasi kuu kuokoka. Mungu alimwonyesha Ishara kuu juu ya enzi za mataifa katika historia ya ulimwengu huu. Alisikia Danieli mtu wa Mungu akitafsiri ndoto zake, aliona jinsi Mungu aliwaokoa Shedraki, Meshaka na Abednego kutoka motoni, pia Nebukadneza alikuwa tayari kushuhudia ukuu wa Mungu (3:29). Mungu pia alimwonya Nebukadneza (4:14,16,27). Leo hii Mungu amenena kwa neema kupitia , ndoto, maono, onyo na upendo, lakini mwanadamu anakataa neema na nuru ya Mungu.
Hebu tuone:-
I. MFALME KATIKA NYUMBA YAKE (PALACE) V.4
II. MFALME JUU YA KITANDA NA PILO YAKE (4:5)
III. MFALME KATIKA UNABII (4:20-27)
IV. MFALME NA KIBURI CHAKE (4:30)
V. MFALME KWA NYASI (4:31)
VI. MFALME KATIKA SIFA ZAKE (4:34-37)
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…