DANIELI 5:1-31
UTANGULIZI
Mungu amenena nasi kwa njia nyingi. Lakini zaidi Mungu amenena kupitia kwa Yesu Kristo na kwa neno lake. Katika Danieli 1-4, Nebukadneza alikuwa mfalme wa Babeli. Alitawala kwa miaka 40 (605-562 Bc) . Baadaye Amel-marduk (563-561 Bc), Neriglisser (560-556BC), Nabonidus (556-539 Bc).Nabonidus alikuwa mwenda safari sana, hivyo akatawala pamoja na mwanaye Belshaza (553-539 Bc) Kutoka Nebukadneza mpaka Belshaza ilikuwa miaka 25. Kila moja wetu ako na usiku wa mwisho, kupumua kwa mwisho, neno la mwisho. Kila moja wetu anapimwa katika mizani ya Mungu kila siku. Belshaza alifanya dhambi dhidi ya Nuru aliyekuwa nayo (He sinned against the light) V.22 “EE Belshaza hukujinyenyekeza moyo wako ijapokuwa ulijua hayo yote” Belshaza alipewa nafasi nyingi kuokoka, Danieli 4:27-34. Leo wengi wetu tunafanya dhambi kinyume na ufahamu wa kweli. Belshaza alifanya makosa mengi sana. Baba yake Nabonidus alikuwa safarini Arabia.
Hebu tuone:-
I. KARAMU ILIKUWA KUBWA ZAIDI (5:1-4)
II. MAANDIKO JUU YA UKUTA (5:5-9)
III. MALKIA MWAMINIFU (5:10-16)
IV. TAFSIRI YA KWELI (5:17-30)
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…