SOMO: LUKA 19:41-44
Leo ni Jumapili ya Mitende, yaani, “Palm Sunday.” Siku kama hii miaka 2,000 iliopita Mwokozi wetu Yesu Kristo aliingia mji wa Yerusalemu huku akijua anaenda kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu. Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na milele. Yesu Ndiye Mwokozi yule aliyelia siku hiyo kwa ajili ya waliopotea dhambi. Hivi leo Yesu Kristo angalia analia kwa ajili yetu na Miji ya dunia hii. Leo tunatizama Mambo matatu:-
INJILI NDIO IPASAYO AMANI KWA MWANADAMU.
Injili ndio ipasayo amani ya dhamiri
Wakati wa dhiki Injili ya Yesu Kristo inaleta amani.
Injili inaleta amani wakati wa mauti.
KUNA SIKU YA NEEMA-(V.42)
“Laiti leo ungalijua hata wewe katika siku hii yapasayo amani, lakini sasa yamefichwa machoni pako.”
YESU KRISTO YU TAYARI KUOKOA WENYE DHAMBI WOTE.
MWISHO.
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…