UTANGULIZI
Je, umewahi kufikiri jinsi mtu anapata kibali mbele ya Mungu ? Je, ni kupitia dini ? Kwenda kanisa ? Kushika Torati na Amri kumi ? Utumishi wake ? La, kuna njia moja pekee ya kumpendeza Mungu, Imani katika waebrania 11:6, “Lakini, pasipo Imani haiwezekani kumpendeza”. Kuna njia mbili za kuishi, kwa kuona, na kwa Imani. Wengi duniani wanaishi kwa kuona. “Kuona ni kusadiki” “Believing is seeing” lakini, wampendao Mungu wanaishi kibibilia, wanaishi kwa Imani.
Jumapili iliyopita tuliona Imani ya kweli ina Abudu Mungu-Habili, Imani ni Kutembea na Mungu-Henoko, Imani inamtumikia Mungu-Nuhu. Leo, hii tutaona mambo matatu yanayo changia maisha ya Imani katika maisha ya Ibrahimu (11:8-19)
Hebu tujifunze:-
I. KWANZA, IMANI YA KWELI NI UTII.(V.8)
II. IMANI YA KWELI NI KUGOJA (11:9-16)
III. TATU, IMANI YA KWELI NI KUTOA DHABIHU (11:17-19)
MWISHO
¨ Imani ya kweli ni utii, kugojea, kutoa
¨ Je, umeanza safari ya Imani ?
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…