MAISHA YA IMANI- Waebrania 11:8-19

UTANGULIZI

Je, umewahi kufikiri jinsi mtu anapata kibali mbele ya Mungu ? Je, ni kupitia dini ? Kwenda kanisa ? Kushika Torati na Amri kumi ? Utumishi wake ? La, kuna njia moja pekee ya kumpendeza Mungu, Imani katika waebrania 11:6, “Lakini, pasipo Imani haiwezekani kumpendeza”. Kuna njia mbili za kuishi, kwa kuona, na kwa Imani. Wengi duniani wanaishi kwa kuona. “Kuona ni kusadiki” “Believing is seeing” lakini, wampendao Mungu wanaishi kibibilia, wanaishi kwa Imani.

Jumapili iliyopita tuliona Imani ya kweli ina Abudu Mungu-Habili, Imani ni Kutembea na Mungu-Henoko, Imani inamtumikia Mungu-Nuhu. Leo, hii tutaona mambo matatu yanayo changia maisha ya Imani katika maisha ya       Ibrahimu (11:8-19)

Hebu tujifunze:-

I.  KWANZA, IMANI YA KWELI NI UTII.(V.8)

  • Maisha ya Imani yanaanza na kutii sauti ya Mungu akuitapo na kuacha maisha ya dhambi.
  • Kwa Imani Ibrahimu alipoitwa, aliitika, atoke, aende mahali atakapopata urithi.
  • Ibrahimu aliondoka, akenda asijue aendako.
  • Mungu alimwita Ibrahim atoke na kuacha upangani na ibada za sanamu-Aingie katika uhusiano na Mungu.
  • Mungu hakumwita kuhubiri, hau kutenda kazi fulani, lakini kwanza-uhusiano.
  • Maisha ya Imani yanaaza tunapo acha mahali pa dhambi na kutoamini.
  • Imani ya kweli inatuelekeza kuchukua hatua.
  • Ibrahim alikuwa na umri wa miaka 75 alipoaza maisha ya Imani– safari ya kwenda inchi ya ahadi.
  • Ibrahimu aliacha ushuhuda wa mtu wa Imani.
  • Kwa wengine hapa, Mungu anawaita kuacha maisha ya dhambi na kumfuata Mungu katika utii wa Imani

 II.  IMANI YA KWELI NI KUGOJA (11:9-16)

  • Imani ni Subra na Subira na kutazamia kwa kugoja
  • Maisha ya Imani kwa Ibrahimu haikwisha kwa kuacha inchi yake Uru . (V.9-10)
  • Ibrahimu alipofika Kanaani, aliishi kama mgeni, katika hema, hivyo Isaka na Yakobo, walishiriki katika Imani.
  • Dunia si mahali kwetu, Kwetu ni Mbinguni tuendako, hivyo usikae starehe (I Petro 2:11)
  • Lengo na shabaha ya Ibrahim haikuwa Kanaani, bali alitazamia mji wa kudumu, mji wa milele ambaye mwenye kujenga ni Mungu.
  • Ibrahimu aligoja kwa subira ahadi, alikufa kabla hajaipata– lakini alikufa akitazamia.

 

 

  • Lakini wakati wa kugoja si wakati wa kupoteza (V.12-16)

 

III. TATU, IMANI YA KWELI NI KUTOA DHABIHU (11:17-19)

  • Imani ya kweli lazima kutoa dhabihu na sadaka.
  • Ibrahimu alimtoa mwana wake Isaka kama dhabihu ya kuteketezwa kwa moto.
  • Isaka alikuwa mpendwa namba moja katika maisha ya Ibrahimu.
  • Ni kitu gani muhimu sana dani ya maisha yako ? Je , Familia, fedha, nyumba, shamba, gari, sura ?

 

MWISHO

¨ Imani ya kweli ni utii, kugojea, kutoa

¨ Je, umeanza safari ya Imani ?

 

The following two tabs change content below.
Rev, Dr. Willy Mutiso is the Senior Pastor at First Baptist Athiriver. He is widely known for his practical and dynamic teaching style which helps people apply the timeless truths of Scripture to their everyday lives.

Latest posts by Rev, DR. Willy Mutiso (see all)

Rev, DR. Willy Mutiso

Rev, Dr. Willy Mutiso is the Senior Pastor at First Baptist Athiriver. He is widely known for his practical and dynamic teaching style which helps people apply the timeless truths of Scripture to their everyday lives.

Recent Posts

CHRISTMAS: THE BIRTH THAT BROKE EVERY BONDAGE

TEXT: LUKE 2:1-14.   The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…

1 day ago

CHRISTMAS: WHY DID CHRIST COME?

TEXT: JOHN 3:16-17.   Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…

2 days ago

KRISMASI MAANAKE NI FURAHA KWA DUNIA YA DHIKI NA SHIDA

MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO.  SOMO: LUKA 2:8-14.   Krismasi inafunua jibu la…

5 days ago

CHRISTMAS IS WHEN HEAVEN CAME DOWN TO EARTH.

SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14.   Christmas is the divine moment when God…

5 days ago

FOR GOD SO LOVED THE WORLD

TEXT: ISAIAH 53:1-12.   The son of man came to seek and save that which…

5 days ago

JESUS OUR SAVIOR

SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21   Jesus Christ is the savior of…

2 weeks ago