II MAMBO YA NYAKATI 33:1-17
UTANGULIZI
Mungu anaweza kumwokoa yeyote yule. Neema ya Mungu inawafikia wote walio karibu na walio mbali sana kama mfalme Manase wa Yuda. Musa alikuwa muuaji, Daudi alikuwa muuaji – msherati, Rahabu alikuwa kahaba, Mariamu Magdalene alikuwa mwenye pepo saba. Ibrahimu alikuwa mwabudu sanamu, Yakobo alikuwa mdanganyifu, Paulo alikuwa mpinga Kristo na wewe na mimi tulikuwa mbali na Mungu wetu (Waefeso 2:13-22)
Hebu tuone jinsi neema ya Mungu ilivyo:-
I. UTAWALA WA MANASE (II MAMBO YA NYAKATI 33:1-6)
II. KUARIBIKA KWAKE MANASE (II MAMBO YA NYAKATI 33:9-11)\
III. UKOMBOZI KWA MANASE (II MAMBO YA NYAKATI 33:12-13)
IV. WOKOVU NA MABANDILIKO YA MANASE (II MAMBO YA NYAKATI 33:15-16)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…