SOMO: LUKA 8:1-3, YOHANA 20:11-18
UTANGULIZI
Mariamu Magdalene ni mfano mzuri wa mwanamke ambaye shetani alikuwa amemuharibu kabisa. Lakini baada ya kuponywa na Yesu Kristo, Mariamu Magdalene alitumiwa na Mungu Zaidi. Mariamu Magdalene alikuwa mtu wa mwisho msalabani (Marko 15:47)
Mariamu Magdalene ndiye mtu wa kwanza kaburini mwa Yesu Kristo.(Yohana 20:1). Marimau Magdalene ndiye wa kwanza kuhubiri habari njema ya kufufuka kwa mwokozi (Mathayo 28:8). Mariamu Magdalene alikuwa katika maombi ya kwanza (Matendo 1:14). Mariamu Magdalene alikuwa chombo cha shetani hapo awali (Pepo saba) (Luka 8:1-2). Mariamu Magdalene aliokoka (Luka 8:3). Mariamu alimtumikia Kristo (Luka 8:3). Mariamu alikuwa mhubiri wa injili (Yohana 20:11-18). Maana yake ni Kinara (watch tower). Imani ya kweli inamfuata Kristo-
Hebu tuone:-
I. WALIOPONYWA WANAWAPONYA WENGINE (Healed people Heal Other people)
II. WALIOPONYWA HAWANA KITU CHA KUFICHA NA KULINDA (Healed people don’t have an image to protect)
III. WALIOPONYWA WANAMTUMIKIA KRISTO NA MALI ZAO.
MWISHO
TEXT: LUKE 2:1-14. The birth of Jesus Christ shattered spiritual, social and eternal barriers,…
TEXT: JOHN 3:16-17. Christmas unveils the divine mission behind the birth of Jesus Christ;…
MFULULIZO: KRISMASI NI KUFUNULIWA KWA YESU KRISTO. SOMO: LUKA 2:8-14. Krismasi inafunua jibu la…
SERIES: CHRISTMAS IS CHRIST. TEXT: JOHN 1:1-14. Christmas is the divine moment when God…
TEXT: ISAIAH 53:1-12. The son of man came to seek and save that which…
SERIES: CHRISTMAS IS JESUS CHRIST. TEXT: MATTHEW 1:21 Jesus Christ is the savior of…