I WAFALME 12:1-19
UTANGULIZI
Biblia inatufindisha kutafuta ushauri. Lakini si kila ushauri ni ushwari mwewa na wa busara. Kweli, kila mtu ni mshauri na kuna ushauri mwingi kila mahali. Lakini je, tutafahamu aje ushauri bora na ushauri mbaya? (Mithali 12:15; 15:22; 19:20) Mfalme Sulemani alikuwa mwenye hekima na moyo wa adili kuliko yeyote yule. Sulemani alikuwa mshauri wa mwanaye Rehoboamu (Mithali 1:8)ambaye alikuwa Kifungua mimba wake .Siku moja Rehoboamu alihitaji ushauri.
Mfalme Sulemani alipokufa, Rehoboamu alishika nafasi na enzi yake. Watu wa Israeli wakamjia mfalme wao mpya, yaani Rehoboamu wao wakamwambia “baba yako alilifanya zito kongwa (nira) letu, basi sasa utupunguzia utumwa mzito tuliotumikishwa na baba yako na lile kongwa zito alilotutwika, nasi tutakutumikia” (V.4)
Kwa hekima Rehoboamu aliwaomba watu hawa siku tatu kisha atawajibu (V.5)
Rehoboamu kwanza aliwaendea wazee, washauri wa babaye mfalme Suleimani (V.7) lakini Rehoboamu alikataa ushauri wa wazee, marafiki zake hawakuwa na hekima, bali walikuwa kiburi na ubinafsi.
Hawa vijana walimshauri Rehoboamu vibaya (V.6-11)
Hayo hayakuwa maneno ya mfalme kuwaambia watu. Maneno hayo yalikuwa ya kuvunja ufalme. Hivyo Israeli ikatawanyika na kuwa na ufalme mbili, Israeli kabila 20 na Yuda kabila mbili. Mpaka leo falme hizi mbili bado ziko mbali mbali. Hebu tujifunze:-
I. SI KILA USHAURI NI USHAURI MWEMA
II. BASI TUMSIKIZE NANI?
III. REHOBOAMU ALIKATAA KUWASIKIZA WATU WAKE (12:15-19)
MWISHO
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: ZABURI 46:1. Biblia inatuakikishia kwamba Mungu wetu ni “Msaada…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: PROVERBS 3:5-6. Every destiny is a divine…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: Colossians 3:5-10 We have put off the…
SERIES: THE GOD WE SERVE TEXT: 2nd SAMUEL 5:17-20 Breakthroughs are divine interventions that…
SERIES: DRAWING NEAR TO GOD TEXT: LAMENTATIONS 3:37 It reminds believers that God's word alone…
MFULULIZO: MAISHA BILA VIZUIZI. SOMO: 1 YOHANA 5:4. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kushindwa…