MFULULIZO: KURUDI KWA YESU KRISTO
SOMO: UFUNUO 20:1-6
Wanadamu wameota ndoto na kutarajia wakati mwema zaidi hapa duniani. Plato katika jamhuri yake alitazamia wakati kila kitu kilichopindana kitafanywa laini. Bacon alitarajia sana Atlantis patakuwa mahali pa Amani na ustawi. Marais wengi wameahidi wanainchi wao wakati wa enzi ya Amani na ustawi. Huko America walikuwa na “the new deal,” new frontier,” the great society,” new world order.” wengine walisema “I have a dream”. Viongozi wa kwanza wa Africa na waajilishi wa mataifa ya Africa walikuwa na ndoto za kumaliza umaskini, ugonjwa, ujinga na utawala mbaya, baada ya miaka 60 Africa tungali na shida si haba.
Lakini wakati wa “dhahabu” yaani “golden age” haitaletwa na mwanadamu na mipango yake na ratiba zake. Amani na usitawi havitaletwa na mwanadamu kwa sheria na bunge hau seneti, haitaletwa na mikataba ya Amerika, Ulaya, Waarabu hau China. Amani ya kweli, uchumi na ustawi wa kweli utaletwa duniani ni Yesu Kristo na tawala wake hapa duniani. Yesu Kristo atakapo tawala hapa duniani ndio dunia itakuwa paradiso ya ukweli. Hivi leo tutajifunza jinsi dunia hii itakavyo kuwa chini ya utawala wa Yesu Kristo na wateule wake.
Hebu tuone:-
I. AHADI YA MILLENIA (1000MIAKA)
II. WAKATI WA MILLENIUMU
III. USITAWI WA MILINIAMU
IV. WATU WA MILLENIAMU
MWISHO
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: KUTOKA 12:12-13. Damu ya Yesu Kristo ndiyo mhuri wa…
SERIES: SUPERNATURAL ADVANCEMENT. TEXT: HABAKKUK 3:19. The journey of fulfilling your destiny does not…
SERIES: THROUGH THE BOOK OF COLOSSIANS. TEXT: COLOSSIANS 3:15 Thankfulness is a great attitude…
SERIES: THE ANOINTING. TEXT: EZEKIEL 47:1-5 There are levels of the anointing and each…
MFULULIZO: AGANO LA UTAKASO. SOMO: ESTA 2:15-18. Kibali cha Mungu ndicho kinacho watenga watoto…
SERIES: THE GOD WHO NEVER FAILS. TEXT: HAGGAI 2:6-9. God has the power to…